Kostanso wa Perugia (alifariki Foligno, Umbria, Italia, karne ya 3 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo akajitahidi kuinjilisha na kusaidia maskini.
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[1].
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search